Skip to content
Kumbukumbu 33:18-19

Kumbukumbu 33:18-19

18
Kuhusu Zabuloni akasema: “Shangilia, Zabuloni, wakati wa kutoka nje, nawe Isakari, katika mahema yako.
19
Watawaita mataifa kwenye mlima, na huko mtatoa dhabihu za haki; watajifurahisha kwa wingi uliojaza bahari, kwa hazina zilizofichwa mchangani.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options