تخطَّ إلى المحتوى
Kumbukumbu 32:37-38

Kumbukumbu 32:37-38

37
Atasema: “Sasa iko wapi miungu yao, mwamba walioukimbilia,
38
miungu wale waliokula mafuta ya dhabihu zao na kunywa mvinyo wa sadaka zao za vinywaji? Wainuke basi, wawasaidie! Wawapeni basi ulinzi!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options