Kumbukumbu 30:10-11
10
kama ukimtii Bwana Mungu wako, na kuzishika amri zake na maagizo yake ambayo yameandikwa katika Kitabu hiki cha Sheria, na kumgeukia Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.
11
Ninachokuagiza leo sio kigumu sana kwako au usichokiweza.