Skip to content
Kumbukumbu 28:15-16

Kumbukumbu 28:15-16

15
Hata hivyo, kama hutamtii Bwana Mungu wako na kuzishika kwa bidii amri zake zote na maagizo ninayokupa leo, laana hizi zote zitakuja juu yako na kukupata:
16
Utalaaniwa mjini na utalaaniwa mashambani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options