Skip to content
Kumbukumbu 27:5-6

Kumbukumbu 27:5-6

5
Huko mjengeeni Bwana Mungu wenu madhabahu, madhabahu ya mawe. Msitumie kifaa chochote cha chuma juu yake.
6
Jengeni madhabahu ya Bwana Mungu wenu kwa mawe ya shambani, na mtoe sadaka za kuteketezwa juu yake kwa Bwana Mungu wenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options