Skip to content
Kumbukumbu 25:11-12

Kumbukumbu 25:11-12

11
Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,
12
huyo mwanamke utamkata mkono wake. Usimhurumie.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options