Skip to content
Kumbukumbu 25:1-2

Kumbukumbu 25:1-2

1
Watu wanapokuwa na ugomvi, wapeleke mahakamani na waamuzi wataamua shauri hilo; watawaachia wasio na kosa na kuwahukumu wenye hatia.
2
Kama mtu mwenye hatia anastahili kuchapwa, mwamuzi atamwamuru alale chini ili achapwe mbele yake idadi ya viboko kulingana na kosa lake,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options