Skip to content
Kumbukumbu 24:8-9

Kuzitii Sheria za Ukoma

Kumbukumbu 24:8-9
8
Pakitokea magonjwa ya ngozi ya kuambukiza, mwe waangalifu sana kufanya sawasawa na maagizo ya makuhani, ambao ni Walawi. Ni lazima mfuate kwa uangalifu yale niliyowaamuru.
9
Kumbukeni kile Bwana Mungu wenu alichomfanyia Miriamu njiani baada ya ninyi kutoka Misri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options