Skip to content
Kumbukumbu 23:2-3

Kumbukumbu 23:2-3

2
Mtu yeyote ambaye amezaliwa kwenye ndoa isiyo halali au wazao wake wasiingie kwenye kusanyiko la Bwana, hata mpaka kizazi cha kumi.
3
Hapatakuwa na Mwamoni au Mmoabu au yeyote wa wazao wao atakayeruhusiwa kuingia katika kusanyiko la Bwana, hata mpaka kizazi cha kumi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options