Skip to content
Kumbukumbu 22:28-29

Kumbukumbu 22:28-29

28
Ikiwa itatokea mwanaume akutane na bikira ambaye hajaposwa na kumbaka nao wakakutwa,
29
mwanaume atamlipa baba wa msichana shekeli hamsini za fedha. Ni lazima amwoe huyo msichana, kwa maana amemfanyia jeuri. Kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options