Kumbukumbu 22:18-19
18
nao wazee watamchukua huyo mwanaume na kumwadhibu.
19
Watamtoza shekeli mia moja za fedha na kupewa wazazi wa msichana, kwa sababu mwanaume huyu amempa bikira wa Kiisraeli jina baya. Ataendelea kuwa mke wake; kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.