Skip to content
Kumbukumbu 21:19-21

Kumbukumbu 21:19-21

19
baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.
20
Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”
21
Kisha wanaume wote wa mjini mwake watampiga kwa mawe mpaka afe. Ndivyo imewapasa kuondoa maovu kati yenu. Israeli yote itasikia hili na kuogopa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options