Skip to content
Kumbukumbu 21:18-20

Kumbukumbu 21:18-20

18
Kama mtu ana mwana mkaidi na mwasi ambaye hamtii baba yake na mama yake, na hasikii wazazi wanapomrudi,
19
baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.
20
Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options