Kumbukumbu 21:18-20
18
Kama mtu ana mwana mkaidi na mwasi ambaye hamtii baba yake na mama yake, na hasikii wazazi wanapomrudi,
19
baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.
20
Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”