Naar de inhoud
Kumbukumbu 19:11-12

Kumbukumbu 19:11-12

11
Lakini kama mtu anamchukia ndugu yake, akamvizia, akamshambulia na kumuua, kisha akakimbilia katika mmojawapo ya miji hii,
12
wazee wa mji wake watatuma ujumbe kwake, kumleta kutoka mji ule na kumkabidhi mlipiza kisasi cha damu kumuua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options