Skip to content
Kumbukumbu 17:6-7

Kumbukumbu 17:6-7

6
Kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu mtu huyo atauawa, bali hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja tu.
7
Ni lazima kwanza mikono ya mashahidi itangulie kumuua huyo mtu, kisha mikono ya watu wote. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options