Skip to content
Kumbukumbu 17:2-3

Kumbukumbu 17:2-3

2
Ikiwa mwanaume au mwanamke anayeishi kati ya mojawapo ya miji akupayo Bwana, anakutwa anafanya uovu mbele za Bwana Mungu wenu, kwa kuvunja Agano lake,
3
naye amekwenda kinyume na agizo langu kuabudu miungu mingine na kuisujudia, kama vile jua, mwezi au nyota za angani,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options