Skip to content
Kumbukumbu 16:21-22

Kumbukumbu 16:21-22

21
Msisimamishe nguzo yoyote ya Ashera kando ya madhabahu mliyomjengea Bwana Mungu wenu,
22
wala msisimamishe jiwe la kuabudu, kwa maana Bwana Mungu wenu anavichukia vitu hivi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options