Skip to content
Kumbukumbu 15:7-8

Kumbukumbu 15:7-8

7
Ikiwa kuna mtu maskini miongoni mwa ndugu zenu, katika mji wowote wa hiyo nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa, msiwe na moyo mgumu wala usimfumbie mkono ndugu yako aliye maskini.
8
Afadhali fungua mikono yako na umkopeshe kwa hiari chochote anachohitaji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options