Skip to content
Kumbukumbu 15:13-14

Kumbukumbu 15:13-14

13
Nawe wakati utakapomwachia usimwache aende mikono mitupu.
14
Mpe kwa uhuru kutoka zizi lako la kondoo na mbuzi, kutoka sakafu yako ya kupuria nafaka na kutoka mashinikizo yako ya kukamulia divai. Mpe kama vile ambavyo Bwana Mungu wako alivyokubariki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options