Skip to content
Kumbukumbu 14:4-6

Kumbukumbu 14:4-6

4
Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,
5
kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.
6
Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options