Skip to content
Kumbukumbu 14:3-8

Kumbukumbu 14:3-8

3
Msile kitu chochote ambacho ni machukizo.
4
Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,
5
kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.
6
Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.
7
Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada.
8
Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options