Kumbukumbu 14:3-6
3
Msile kitu chochote ambacho ni machukizo.
4
Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,
5
kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.
6
Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.