Kumbukumbu 14:12-18
12
Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,
13
kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,
14
kunguru wa aina yoyote,
15
mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,
16
bundi, mumbi, bundi mkubwa,
17
mwari, nderi, mnandi,
18
korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
Settings