Skip to content
Kumbukumbu 14:11-19

Kumbukumbu 14:11-19

11
Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi.
12
Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,
13
kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,
14
kunguru wa aina yoyote,
15
mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,
16
bundi, mumbi, bundi mkubwa,
17
mwari, nderi, mnandi,
18
korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
19
Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options