Skip to content
Kumbukumbu 14:11-18

Kumbukumbu 14:11-18

11
Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi.
12
Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,
13
kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,
14
kunguru wa aina yoyote,
15
mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,
16
bundi, mumbi, bundi mkubwa,
17
mwari, nderi, mnandi,
18
korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options