Skip to content
Kumbukumbu 12:23-25

Kumbukumbu 12:23-25

23
Lakini hakikisheni kwamba hamkunywa damu, kwa sababu damu ni uhai, kamwe msile uhai pamoja na nyama.
24
Hamruhusiwi kamwe kunywa damu; imwageni juu ya ardhi kama maji.
25
Msinywe damu, ili mweze kufanikiwa ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo haki machoni pa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options