Kumbukumbu 12:23-25
23
Lakini hakikisheni kwamba hamkunywa damu, kwa sababu damu ni uhai, kamwe msile uhai pamoja na nyama.
24
Hamruhusiwi kamwe kunywa damu; imwageni juu ya ardhi kama maji.
25
Msinywe damu, ili mweze kufanikiwa ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo haki machoni pa Bwana.
Settings