Skip to content
Kumbukumbu 12:2-4

Kumbukumbu 12:2-4

2
Haribuni kabisa kila mahali pao pa kuabudia kwenye milima mirefu, vilima na chini ya kila mti mkubwa ambamo mataifa haya mnayokwenda kuchukua ardhi yao huabudia miungu yao.
3
Bomoeni madhabahu zao, vunjeni yale mawe wanayoabudu, chomeni moto nguzo zao za Ashera; katilieni mbali sanamu za miungu yao na mfute majina yao mahali hapo.
4
Kamwe msimwabudu Bwana Mungu wenu kama wanavyoabudu wao.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options