Skip to content
Kumbukumbu 12:13-14

Kumbukumbu 12:13-14

13
Kuweni waangalifu, msitoe dhabihu zenu za kuteketezwa mahali popote mnapopapenda.
14
Mtazitoa tu mahali pale ambapo Bwana atachagua katika mojawapo ya makabila yenu, nanyi hapo zingatieni kila jambo ninalowaamuru.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options