Skip to content
Kumbukumbu 11:26-28

Kumbukumbu 11:26-28

26
Tazama, leo ninaweka mbele yenu baraka na laana:
27
baraka kama mtatii maagizo ya Bwana Mungu wenu, ambayo ninawapa leo;
28
laana kama hamtatii maagizo ya Bwana Mungu wenu na kuacha njia ambayo ninawaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, ambayo hamkuijua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options