Kumbukumbu 11:26-28
26
Tazama, leo ninaweka mbele yenu baraka na laana:
27
baraka kama mtatii maagizo ya Bwana Mungu wenu, ambayo ninawapa leo;
28
laana kama hamtatii maagizo ya Bwana Mungu wenu na kuacha njia ambayo ninawaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, ambayo hamkuijua.