Skip to content
Kumbukumbu 11:14-15

Kumbukumbu 11:14-15

14
ndipo atawanyweshea mvua katika nchi yenu kwa majira yake, mvua ya masika na ya vuli, ili mpate kuvuna nafaka zenu, divai mpya na mafuta.
15
Nitawapa majani kwa ajili ya ngʼombe wenu, nanyi mtakula na kushiba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options