Skip to content
Kumbukumbu 10:18-19

Kumbukumbu 10:18-19

18
Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
19
Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options