Skip to content
Kumbukumbu 10:14-15

Kumbukumbu 10:14-15

14
Mbingu, hata mbingu za juu sana, dunia na kila kitu kilichomo ndani yake, ni mali ya Bwana Mungu wako.
15
Hata hivyo Bwana alikuwa na shauku na baba zako, akawapenda na akawachagua ninyi, wazao wao, kuliko mataifa yote, kama ilivyo leo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options