Skip to content
Kumbukumbu 1:34-35

Kumbukumbu 1:34-35

34
Wakati Bwana aliposikia lile mlilosema, alikasirika, akaapa, akasema:
35
“Hakuna mtu wa kizazi hiki kiovu atakayeona nchi nzuri niliyoapa kuwapa baba zenu,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options