Skip to content
Kumbukumbu 1:29-31

Kumbukumbu 1:29-31

29
Ndipo nikawaambia, “Msihofu, wala msiwaogope.
30
Bwana Mungu wenu anayewatangulia, atawapigania, kama alivyofanya kwa ajili yenu huko Misri, mbele ya macho yenu hasa,
31
na pia huko jangwani. Huko mliona jinsi Bwana Mungu wenu alivyowachukua, kama baba amchukuavyo mwanawe, katika njia yote mliyoiendea mpaka mkafika mahali hapa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options