Skip to content
Kumbukumbu 1:13-15

Kumbukumbu 1:13-15

13
Chagueni baadhi ya watu wenye hekima, wenye ufahamu na wanaoheshimika kutoka kila kabila lenu, nami nitawaweka juu yenu.”
14
Mlinijibu, “Shauri ulilolitoa ni zuri.”
15
Kwa hiyo niliwachukua wanaume viongozi wa makabila yenu, wenye hekima na wanaoheshimika, nami nikawateua wawe na mamlaka juu yenu kama majemadari wa maelfu, wa mamia, wa hamsini, na wa makumi, na kama maafisa wa makabila.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options