Skip to content
Kumbukumbu 1:10-11

Kumbukumbu 1:10-11

10
Bwana Mungu wenu ameongeza hesabu yenu, hivi kwamba leo ninyi ni wengi kama nyota za angani.
11
Naye Bwana, Mungu wa baba zenu na awaongeze mara elfu na kuwabariki kama alivyoahidi!
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options