Skip to content
Danieli 9:5-6

Danieli 9:5-6

5
tumetenda dhambi na kufanya mabaya. Tumekuwa waovu na tumeasi; tumegeuka mbali na maagizo yako na sheria zako.
6
Hatukuwasikiliza watumishi wako manabii, ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu, wakuu wetu, baba zetu, na watu wote wa nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options