Danieli 9:22-23
22
Akanielimisha na kuniambia, “Danieli, sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu.
23
Mara ulipoanza kuomba, jibu lilitolewa, ambalo nimekuja kukupasha habari, kwa maana wewe unapendwa sana. Kwa hiyo, tafakari ujumbe huu na uelewe maono haya: