Skip to content
Danieli 7:17-18

Danieli 7:17-18

17
‘Hao wanyama wanne wakubwa ni falme nne zitakazoinuka duniani.
18
Lakini watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na kuumiliki milele: naam, milele na milele.’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options