Skip to content
Danieli 5:26-28

Danieli 5:26-28

26
“Hii ndiyo maana ya maneno haya: “Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
27
Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
28
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options