Skip to content
Danieli 3:8-12

Danieli 3:8-12

8
Wakati huo baadhi ya Wakaldayo walijitokeza na kuwashtaki Wayahudi.
9
Wakamwambia Mfalme Nebukadneza, “Ee mfalme, uishi milele!
10
Ee mfalme, umetoa amri kwamba kila mmoja atakayesikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda, zumari na aina zote za ala za uimbaji lazima aanguke chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu,
11
na kwamba yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.
12
Lakini wako baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu ya mambo ya jimbo la Babeli: yaani, Shadraki, Meshaki na Abednego, ambao hawakujali wewe, ee mfalme. Hawaitumikii miungu yako wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options