Skip to content
Danieli 12:2-3

Danieli 12:2-3

2
Wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwa aibu na kudharauliwa milele.
3
Wale wenye hekima watangʼaa kama mwanga wa mbingu, nao wale ambao huwaongoza wengi kutenda haki, watangʼaa kama nyota milele na milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options