Skip to content
Danieli 1:12-13

Danieli 1:12-13

12
“Tafadhali wajaribu watumishi wako kwa siku kumi. Usitupe chochote ila nafaka na mboga za majani tule, na maji ya kunywa.
13
Baadaye ulinganishe sura zetu na vijana wanaokula chakula cha mfalme, ukawatendee watumishi wako kulingana na unachoona.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options