Skip to content
Wakolosai 2:21-23

Wakolosai 2:21-23

21
“Msishike! Msionje! Msiguse!”?
22
Haya yote mwisho wake ni kuharibika yanapotumiwa, kwa sababu msingi wake ni katika maagizo na mafundisho ya wanadamu.
23
Kwa kweli amri kama hizo huonekana kama zina hekima, katika namna za ibada walizojitungia wenyewe, na unyenyekevu wa uongo na kuutawala mwili kwa ukali, lakini hayafai kitu katika kuzuia tamaa za mwili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options