Skip to content
Wakolosai 1:6-8

Wakolosai 1:6-8

6
iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.
7
Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,
8
ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options