Skip to content
Matendo 7:59-60

Matendo 7:59-60

59
Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”
60
Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema hayo, akalala.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options