Skip to content
Matendo 7:49-50

Matendo 7:49-50

49
“ ‘Mbingu ni kiti changu cha enzi, nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu. Mtanijengea nyumba ya namna gani? asema Bwana. Au mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?
50
Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote?’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options