Matendo 6:9-10
9
Hata hivyo, ukainuka upinzani wa watu wa Sinagogi la Watu Huru (kama lilivyokuwa linaitwa), la Wayahudi wa Kirene na wa Iskanderia, na wengine kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa wakaanza kupingana na Stefano.
10
Lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala huyo Roho ambaye alisema kwake.