Skip to content
Matendo 6:11-12

Matendo 6:11-12

11
Ndipo kwa siri wakawashawishi watu fulani waseme, “Tumemsikia Stefano akisema maneno ya kufuru dhidi ya Mose na dhidi ya Mungu.”
12
Wakawachochea watu, wazee na walimu wa Sheria, nao wakamkamata Stefano wakamfikisha mbele ya baraza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options