Skip to content
Matendo 5:17-18

Matendo 5:17-18

17
Kisha kuhani mkuu na wenzake wote waliokuwa pamoja naye, waliokuwa wa kundi la Masadukayo, wakajawa na wivu.
18
Wakawakamata mitume na kuwatia gerezani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options